Staa huyo leo atakuwa na shoo katika Uwanja wa St. August, Burundi. Baada ya shoo hiyo, Diamond atakuwa na shoo nyingine Mwaka Mpya nchini Rwanda ambapo Januari 8 atapiga shoo nyingine nchini Nigeria.
Staa huyo kuzidi kuonyesha kuwa ni mahiri katika muziki, jana amejinyakulia tuzo nyingine ya Mwanamuziki Bora wa Kiume Afrika Mashariki kutoka Tuzo za Afrima 2014 zilizotolewa jijini Lagos nchini Nigeria.
Mtandao huu unaendelea kumpongeza staa huyo kwa juhudi zake na kumtakia kila la kheri katika kazi yake.
0 comments:
Post a Comment