Monday 15 December 2014

Leave a Comment

16 BORA LIGI YA MABINGWA ULAYA;ARSENAL HATIMAYE YAWAKWEPA VIGOGO BAYERN NA BARCELONA




Ratiba ya mchuano wa hatua ya 16 bora ya ligi ya mabingwa ulaya imetoka huku ikishuhudia timu kama Arsenal ikivikwepa vigogo kama Bayern Munich na Barcelona wakati ndugu zao Manchester City wakiumana na mmoja wa vigogo hivyo Barcelona,waingereza wengine Chelsea wenyewe wataumana na matajiri wa Ufaransa PSG ikiwa ni kumbukumbu ya robo fainali ya msimu uliopita.Mechi za raundi ya kwanza katika hatua hii zinatarajiwa kuchezwa kati ya tarehe 17 na 25 februari.

0 comments: