
Mabao ya Azam yamewekwa kimiani na Didier Kavumbagu katika dakika ya 5 huku la pili likifungwa na John Bocco, dakika ya 65. Mabao ya Yanga ymefungwa na Amissi Tambwe katika dakika ya 7 pamoja na Simon Msuva dakika ya 51.
Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)
Your email address is safe with us!
0 comments:
Post a Comment