Monday 29 December 2014

Leave a Comment

MVUA KUBWA ‘YALILOWESHA’ JIJI LA DAR ES SALAAM

Mtaa wa Ohio katikati ya jiji ulivyokuwa umekumbwa na maji.
Hali ilivyokuwa maeneo ya  Mwananyamala A.Maeneo ya Hongera, Sinza, nayo yalijaa maji.
Maeneo ya Afrika Sana yalionja adha ya mvua hiyo kama sehemu nyingine nyingi.
Hapa ni eneo la Mwenge-Bamaga ambalo nalo liliathirika vibaya.    
MTANDAO wetu leo umefanikiwa kuzunguka baadhi ya maeneo katika viunga vya jiji la Dar es Salaam na kujionea baadhi ya maeneo baada ya mvua kubwa ‘kuanguka’ katika jiji hili na maeneo ya jirani na kusababisha adha kubwa kwa wakazi wake.


MVUA kubwa iliyonyesha leo imesababisha mafuriko katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam na kuleta usumbufu kwa wakazi wa jiji hilo kama inavyoonekana pichani juu.

0 comments: