Mabao ya Azam yamewekwa kimiani na Didier Kavumbagu katika dakika ya 5 huku la pili likifungwa na John Bocco, dakika ya 65. Mabao ya Yanga ymefungwa na Amissi Tambwe katika dakika ya 7 pamoja na Simon Msuva dakika ya 51.
Sunday, 28 December 2014
YANGA VS AZAM NGOMA DROO,
Mabao ya Azam yamewekwa kimiani na Didier Kavumbagu katika dakika ya 5 huku la pili likifungwa na John Bocco, dakika ya 65. Mabao ya Yanga ymefungwa na Amissi Tambwe katika dakika ya 7 pamoja na Simon Msuva dakika ya 51.
0 comments:
Post a Comment